Wanaharakati walioteuliwa katika uchaguzi wa wanatanzania 50 waliofuzu katika sekta tofauti na Avance media wametangazwa!
Tungependa kuwapa pongenzi wasanii na wanasanaa ya filamu na televisheni walioteuliwa! Wengi wao wameshiriki katika vipindi na filamu zilizopeperushwa hapa Maisha Magic Bongo. Pata kuwajua wanaharakati wetu!
Muigizaji, Jokate Mwegelo
Muigizaji na mmiliki wa Sio Habari. Idris Sultan ameigiza katika tamthilia ya Sarafu inayopeperushwa Januari 2018 hapa MMBongo!
Wasanii vikongwe wa Bongo fleva, Ali Kiba na Diamond Platnumz.
Muigizaji mashuhuri, Wema Sepetu
Muigizaji, Luca Mhuvile (Joti) mcheshi shupavu katika kipindi cha Mwantumu.
Msanii wa Bongo fleva, Vanessa Mdee
Muigizaji mashuhuri katika tamthilia yetu ya HUBA na mcheshi hodari katika sekta ya sanaa.
Sekta ya sanaa na burudani inaendelea kuimarika hapa Tanzania, wasanii na waigizaji wetu wakiendelea kupata umaarufu kote duniani! Tunawashukuru sana kwa kazi yenu na pongezi kwa kupata fursa ya kuwa katika Orodha hii ya Avance Media 50 Most Influential Young Tanzanians!