Tunalenga macho leo katika kipiengele cha tamthilia na Muziki hapa Afrika Mashariki, na haswa, katika chaneli yetu, Maisha Magic Bongo! Mashabik wa tamthilia za MMBongo wametembea hatua kwa hatua nasi, na tungependa kutazama maoni yenu! Mashabik walingoja vipindi vya #MMBKapuni na #MMBSarafu kwa hamu na kwa kweli, mumezipokea vizuri! Wacha tutazame maoni yenu!
Tamthilia inayovuma zaidi katika Maisha Magic Bongo ni Doli Armano Ki! Tazama comment zenu katika mitandao! Changamoto za Binti Urmi katika mikono mwa Mume wake Samrat vimefanya awe kipenzi cha watazamaji!
Filamu za MMBongo mwezi huu wa mapenzi ni moto moto, tukiletewa suvi za kikwetu! Wiki hifi, mamboni mapenzi pekee! Usikose vipindi vyetu na musiki wa Bongo patika kipindi cha #MZOOKATZ
Tunawatakia wiki yenye utulivu, furaha na faraja!